NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA, TUMA MAOMBI KABLA YA TAREHE 4 DECEMBER 2017

 Image result for nembo ya taifa
 
MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA ANAWATANGAZIA WANANCHI WOTE WENYE SIFA  KUOMBA NAFASI ZA KAZI  YA MKATABA KATIKA KITUO CHA REDI  (RUBONDO FM)
 
 kama ifuatavyo
 
MTANGAZAJI NAFASI 1
 
SIFA ZA MWOMBAJI
 
- awe na elimu ya kidato cha 4 au 6
- awe amehitimu mafunzo ya astashahada/stashahada katika  mawasiliano au utumishi wa Umma
- awe na sauti yenye kuwavutia watu
- awe na uwezo wa kutumia kompyuta na mitandao mbali mbali ya kijamii kama vyanzo vya habari
- awe na uzoefu wa kazi hii usiopungua miaka miwili
- awe na umri usiozid miaka 45
 
2. MHARIRI (NEWS EDITOR - NAFASI 2)
 
SIFA ZA MWOMBAJI
- awe na elimu ya kidato cha 4 au 6
- awe amehitimu mafunzo ya shahada katika mawasliano au mahusiano ya Umma
- awe na uwezo wa kutumia kompyuta na mitandao mbali mbali ya kijamii kama vyanzo vya habari
- awe na uzoefu wa kazi hii usiopungua miaka miwili
- awe na umri usiozid miaka 45
 
MAJUKUMU YA KUFANYA
- kutayarisha na kuandaa habari  zenye uhakika kila wakati
- kusimamia dawata  la habari na watangazaji walio chini yake
- kugawana na kusimamaia kazi za waandishi mbali mbali walio chini yake
- kuksanya, kuandaa ma kuhariri habari mbli mbali zinazotokea na kuzisoma kwa ufasaha
 
3. MZALISHA VIPINDI (PROGRAMME PRODUCER - NAFASI 1)
 
SIFA ZA MWOMBAJI
- awe na elimu ya kidato cha 4 au 6
- awe amehitimu mafunzo ya shahada katika mawasliano au mahusiano ya Umma
- awe na uwezo wa kutumia kompyuta na  programu mbali mbali za kutengeneza vipindi kama vile adobe, soundbooth na adobe audition
- awe na uzoefu wa kazi hii usiopungua miaka miwili
- awe na umri usiozid miaka 45
 
MAJUKUMU YA KUFANYA
- kutayarisha vipindi mbali mbali vya redio  pamoja na matangazo mengine
 
 
MAMBO YA KUZINGATIA
- barua za maombi ziambatanishwe na nakala za vyeti vya elimu taaluma, cheti cha kuzaliwa na passport 2 
- maombi yaambatanishwe na CV
- Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 40/12/2017 saa 9 alasili
- barua za maombi zitumwe kwa anuani ifuatayo
 
MKURUGENZI MTENDAJI,
HALMASHAURI YA WILAYA,
S.L.P 139,
GEITA 
PIA TANGAZO HILI LINAPATIKANA KATIKA TOVUTI YA www.geitadc.go.tz 

Post a Comment

0 Comments