NAFASI ZA AJIRA- UANDISHI WA BLOG


NAFASI ZA AJIRA KATIKA BLOG YA AJIRACONNECT (2 posts only)

Uongozi wa blog ya Ajiraconnect unapenda kuwatangazieni nyote NAFASI mbili za ajira KATIKA blog hii ambazo zimeorodheshwa hapa chini.... 

1: Mwandishi wa habari/matangazo (2 posts)
Tunapenda kutangaza nafasi mbili za ajira kwa waandishi na social networking professional

SIFA 
1; uwe ni mtanzania 
2: uwe na muda wa kufanya kazi 
3; uwe na uzoefu wa kutumia mtandao wa blogger  
4; uwe na atleast kiwango cha elimu Darasa la saba
5;uwe na account facebook, whatsapp na Twitter zenye magroup atleast 25

KIWANGO CHA MSHAHARA
Kiwango cha mshahara kwa mwezi kima cha chini ni Tsh 50,000/-

NAMNA YA KUTUMA MAOMBI
Maombi yote yatumwe kupitia email hii Ajiraconnect255@gmail.com

NOTE tunahitaji mtu ambaye atakuwa na uwezo wa kufikisha watazamaji/watembeleaji 50,000 kwa mwezi....







Post a Comment

0 Comments